Search This Blog
Sunday, May 3, 2020
Waziri Mkuu wa uingereza ampa mwanae jina la Dktari aliyemtibu corona
Waziri Mkuu wa uingereza Boris Johnson na mchumba wake wamempa mtoto wao jina la madaktari waliosaidia Waziri huyo kumtibu ugonjwa wa corona .
Jina lake ni Wilfred Nicholas Johnson, majina mawili ya kwanza yanatoka kwao,yaliyobaki ni ya upande wa madaktari.
Wataalamu wa mambo wanasema jina la mtoto huyu mchanga wa kiume limekuwa refu sana na huenda likawaboa wanaomuita, na wameshauri kamani kwa heshima ya madaktari angeitwa Nicholas pekee.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment