Search This Blog

Monday, May 25, 2020

Wafungwa 7 wafariki katika ghasia zilizozuka katika gereza nchini Mexico


Wafungwa  7 wafariki na wengine  9 wajeruhiwa katika ghasia zilizotokea katika gereza moja nchini Mexico.

Ghasia zilizotokea katika gereza moja nchini Mexico zimepelekea wafungwa  7 kufariki na wengine  9 wamejeruhiwa vikali.

GHasia hizo zimetokea katika gereza  lenye ulinzi mkali  katika jimbo la Puente Grande.

Kulingana na taarifa zilizotolewa na  vyombo vya habari nchini Mexico, wafungwa walishambulia kwa silaha za moto na visu na kusababisha vifo hivyo na majeruhi.

Hali imerejea kuwa shwari  baada ya  maafisa magaereza kuingilia kati.

Uchunguzi umeanzishwa kubaini sababu na ghasia hizo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...