Search This Blog

Thursday, May 21, 2020

Wabunge wapewa notis kuhama nyumba za serikali



Wakati Bunge la 11 likitarajiwa kumalizika Juni 19, mwaka huu, imeelezwa kuwa wabunge waliopanga katika nyumba za serikali mjini Dodoma, wameanza kupewa barua za kutakiwa kuondoka. 

Mbunge wa Rufiji Mohammed Mcherengwa ,aliyasema hayo jana  Bungeni wakati akiomba muongozo wa spika kuhusu suala hilo, huku akimuomba spika Job Ndugai , kuzungumza na Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano, Isaack Kamwelwe , kuliangalia upya suala hilo na  kuwa na subira hadi uchunguzi utakapomalizika.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...