Search This Blog
Thursday, May 21, 2020
Diwani kortini kwa kupokea rushwa ya sh mil.1/
Diwani wa Kijichi katika Manispaa ya Temeke kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Elias Mtarawanje (29), amefikishwa mahakamani akikabiliwa na mashtaka mawili ikiwamo kushawishi na kupokea rushwa ya Sh. milioni moja kutoka kwa Yusuf Omary.
Mshtakiwa huyo alisomewa mashtaka yake jana katika mahakama ya Wilaya ya Temeke iliyoketi chini ya hakimu mkazi, Ctherine Madili.
Mwendesha mashtaka wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) Mwanakombo Rajabu , alidai kuwa, Februari 6 mwaka huu , Mtoni Kijichi ,Wilaya ya Temeke , Jijini Dar es salaam mshtakiwa akiwa Diwani wa kata ya Kijichi aliomba rushwa ya sh. milioni moja kutoka kwa Omary kama kishawishi kwake ili asiweze kulipa malipo ya fidia ya eneo jambo ambalo amelifanya tofauti na uhusiano na shughuli za muajiri wake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment