Search This Blog
Sunday, May 3, 2020
Ongezeko la maambukizi ya corona Kenya yafikia 435
Wizara ya afya ya Kenya imesema wagonjwa wengine wa corona 24 wameongezeka na kufanya idadi ya jumla ya maambukizi kufikia 435 kutoka 411 ''tumewapima watu 1,195 ndani ya saa 24 na kati yao 24 wamekutwa na corona ,hii ni idadi kubwa kuwahi kutokea kwa siku tangu corona iingie kenya''
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment