Search This Blog

Sunday, May 3, 2020

Idadi ya maambukizi ya corona yaongezeka Uganda



Wizara ya afya ya Uganda imesema kuna ongezeko la wagonjwa watatu wa corona na kufanya idadi ya maambukizi ya jumla ya corona Uganda kufikia 88, wagonjwa wapya ni dereva wa lori Mkenya na wa Burundi na watatu ni Mganda aliyeingia Nchini humo akitokea Bukoba Tanzania, waliopona corona ni watu 52 na hakuna kifo cha corona Uganda.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...