Search This Blog

Thursday, May 7, 2020

Mike Tyson kurudi tena ulingoni


Bingwa wa zamani wa ndondi katika uzito wa juu duniani, Iron Mike Tyson,  yupo katika mazoezi makali ya kurudi jukwaani, akitaka kucheza pambano la raundi tatu hadi nne.

Chini ya mkufunzi wake, Rafael Cordeiro, Tyson baada ya kuposti video hiyo fupi katika ukurasa wake wa #Instagram ameonekana kuwa mwepesi katika mazoezi yake yaliyowashangaza watu zaidi ya milioni moja kutokana na kasi yake.

Mike Tyson (53) anatarajiwa kurudi ulingoni katika pambano maalum la kuchangisha fedha na litakuwa la raundi zisizozidi tano, lakini mpinzani wake bado hajaulikana.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...