Search This Blog
Thursday, May 7, 2020
Uganda: Idadi ya maaambukizi ya corona yaongezeka na kufikia 100
Wizara ya Afya Uganda imesema wagonjwa wengine wa corona wameongezeka nchini humo na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 100, waliopona wamesalia Watu 55 na hakuna kifo cha corona. “tumefanikiwa kupima Watu 3,071 ndani ya saa 24, kasi ya kiwango chetu cha upimaji inaongezeka”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment