Search This Blog

Thursday, May 7, 2020

Covid-19 : Raia 209 wa Uturuki wasafirishwa kutoka Maldivi


Waturuki 209 wasafirishwa kutoka katika visiwa vya Maldivi  kutokana na virusi vya corona na kurejeshwa Uturuki.

Waturuki 209 wasafirishwa kutoka katika visiwa vya Malidvi katika bahari ya Hindi kutokana na virusi vya corona na kurejeshwa Uturuki .

Watu ha wametengwa kwa ajili ya uchunguzi wa kiafya  , uchunguzi huo wa kiafa utachukuwa muda wa  wiki mbili  kama ilivyo ada kwa watu wanaoshukiwa kuwa na maambukizi wanapotoja nje ya Uturuki.

Zoezi la kuwarejesha waturuki w alipo ugenini nchini Uturuki linaendelea  kama ilivyoagizwa na rais Erdoğan .

Zoezi hilo linaendelea  kwa usimamizi wa makamu wa rais Fuat Oktay  na wizara ya mambo ya nje.

Ndege  ya shirika la Turkish Airlines  imewasafirisha waturuki    209 aambao wamewasili Uturuki  usiku wa Jumanne kuamkia Jumatano na kupokelewa na kikosi cha wauguzi katika uwanja wa ndege wa kimataifa  mjini Ankara .


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...