Search This Blog
Monday, May 11, 2020
Mchezaji wa Atalanta afariki dunia
Kiungo wa Atalanta ya Italia Andrea Rinaldi aliyekuwa akicheza kwa mkopo Legnano ya Serie D, afariki dunia akiwa na umri wa miaka 19 kwa kupata tatizo katika Ubongo (aneurysm) toka Ijumaa.
Andrea Rinaldi enzi za uhai wake ameichezea Legnano aliyokuwa kwa mkopo jumla ya mechi 23 wakati katika club ya Atalanta alikuwa toka akiwa na umri wa miaka 13 na kucheza game 35 za U-17.
Rinaldi ambaye alikuwa amejiunga na Legnano toka August 2019, amefariki akiwa hospitali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment