Search This Blog
Monday, May 11, 2020
UEFA wako tayari kuwaongezea muda EPL wakuleta mpango kazi wao mezani
Chama soka ulaya (UEFA) kimeripotiwa kuwa kitaongeza muda mbele zaidi endapo Ligi Kuu England hawatokuwa wamefikia muafaka wa namna ya kurejesha Ligi hadi ifikiapo May 25 2020.
Rais wa UEFA Aleksander Ceferin amethibitisha hilo baada ya mwezi uliopita kutoa maagizo hayo ili kuhakikisha kuwa club na viongozi wa EPL wanakuja na mpango wa namna ya kumalizia msimu 2019/20.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment