Search This Blog
Monday, May 18, 2020
Makamu wa kwanza wa Rais wa Sudan Kusini abainika na corona
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudani Kusini na Kiongozi wa zamani wa Waasi,Riek Machar amebainika kuwa na corona, Mke wa Machar Angelina Teny ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi nchini humo, baadhi ya Walinzi wa Machar na wafanyakazi wa ofisi yake nao pia wana corona
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment