Search This Blog
Monday, May 18, 2020
Magaidi wawili wa al Shaabab waangamizwa nchini Somalia
Wanamgambo wawili wa kundi la al Shaabab nchini Somalia waangamizwa katika operesheni .
Operesheni ya anga ya jeshi la Somalia dhidi ya wanamgambo wa kundi la Al Shabaab limeplekea wangambo wawili kufariki.
Kulingana na taarifa zilizotolewa kuhusu tukkio hilo, shambulizi la anga la jeshi la Somalia kwa ushirikiano na kikosi cha jeshi la Marekani , shambulizi hilo limelenga eneo la Kunyo Borrow majira ya usiko.
Kikosi hicho cha jeshi la Marekani kinatoa usaidizi kwa jeshi la Somalia kukabiliana na magaidi.
Magaidi wawili wameuawa .
Operesheni hiyo imeendeshwa baada ya magaidi kumshambulia na kumuuawa gavana Ahmed Musa Nur .
Wanamgambo wa al Shabaab walishambulia gari lililokuwa likimsafirisha gavana huyo na kuwaua watu wengine watatu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment