Search This Blog

Monday, May 18, 2020

Miskiti kuanza kufunguliwa Uturuki


Rais wa Uturuki asema kuwa agizo la kutotoka nje kutokana na virusi vya corona  ltaendelea kuheshimishwa  hata katika siku kuu ya Eid el Fitr.

Rais Recep Tayyıp Erdoğan  afahamisha ya kwamba amaagizo ya kutotoka nje kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona nchini  Uturuki katika mikoa yake yote yataendelea kuheshimishwa hata katika kipindi cha siku kuu ya Eid el Fitr.

Rais Erdoğan amesema kuwa kaunza Mei 23  siku ya mwisho ya Ramadhani, Mei 24 hadi Mei  26  ni marufuku kutoka nje  katika miji yote ya Uturuki kutokana na virusi hatari vya corona.

Hayo rais  wa Uturuki ameyazungumza baada  ya kumalizika kwa ukutano wa baraza la mawaziri  uliofanyika kwa njia ya video.

Mkutano huo umefanayika ni mkutano wa 8.

Rais Erdoğan amesema kuwa mapambano dhidi ya virusi vya corona  yanaendelea huku matumaini ya kudhibiti virusi hivyo yakeindelea kuonekana.

Idadi ya  waambukizi na vifo inazidi ia kupungua kila kukicha.

Uwezekano na kufuta vifo kutoka na covid-19  upo kwa kuwa  idadi ya watu wanaoambukiwa  pia inazidi kupungua.

Ameendelea kufahamisha kuwa  iwapo  hatua hazitoheshimishwa , mamlaka husika  hazitosika  kutoa adhabu kali.

 Rais Erdoğan amesema kuwa kutokomezwa kwa janga la virusi vya corona  kutatokana  na  ushirikiano wa kimataifa.

Hali ya maisha ya kawaida  inaweza kuanza kurejea mwezi  ujao.
Miskiti kwa ajili ya ibada   itaanza kufunguliwa Mei  29 na agizo la kuheshimu masharti.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...