Search This Blog
Sunday, May 3, 2020
Davido atangaza ujio wa collabo yake na Nicki Minaj
Nyota wa muziki kutoka Nigeria Davido ametangaza kuja na Collabo yake na rapper wa kike kutoka Marekani, Nicki Minaj.
Kupitia ukurasa wake wa twite mapili hii Davido aliandika (OBO X NICKI MINAJ) kisha kuweka wazi kuwa ngoma hiyo imetayarishwa na mkali kutoka NigeriaSperoach.
Sambamba na hiloDavido pia ametangaza uwa anakuja na album yake mpya iitwayo "A BETTER TIME" ambayo ataiachia mwezi Julai mwaka huu.
Davido anaendelea kufungua mipaka ya muziki wake baada ya kukamilisha kazi mbalimbali na wasanii wakubwa kutoka nchini Marekani, wakiwemo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment