Search This Blog
Sunday, May 31, 2020
Afande Sele "Idriss Sultan Anatumwa na Wanasiasa wa Upinzani Ambao Wamepoteza Dira"
Msanii wa muziki nchini Tanzania Selemani Msindi maarufu Afande Sele amesema, watu wanaompigania msanii Idris Sultan wengi wao ni wanasiasa wa upinzani na wanampigania kwa kuwa Idris alilenga katika kumdhalilisha na kumfedhehesha Rais Dk @MagufuliJP kitu ambacho wapinzani hupenda
-
"Kwa kuwa hili si kosa la kwanza kulifanya, inadhihirisha wazi kuwa Idris Sultan anatumwa na wanaomtuma ni hao wanaompigania ambao ni wanasiasa wa upinzani ambao kimsingi wamepoteza dira na upinzani wao hauna tija" - afandesele, Msanii wa Muziki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment