Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

Afande Sele "Idriss Sultan Anatumwa na Wanasiasa wa Upinzani Ambao Wamepoteza Dira"

Afande Sele "Idriss Sultan Anatumwa na Wanasiasa wa Upinzani Ambao Wamepoteza Dira"

Msanii wa muziki nchini Tanzania Selemani Msindi maarufu Afande Sele amesema, watu wanaompigania msanii Idris Sultan wengi wao ni wanasiasa wa upinzani na wanampigania kwa kuwa Idris alilenga katika kumdhalilisha na kumfedhehesha Rais Dk @MagufuliJP kitu ambacho wapinzani hupenda
-
"Kwa kuwa hili si kosa la kwanza kulifanya, inadhihirisha wazi kuwa Idris Sultan anatumwa na wanaomtuma ni hao wanaompigania ambao ni wanasiasa wa upinzani ambao kimsingi wamepoteza dira na upinzani wao hauna tija" - afandesele, Msanii wa Muziki

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...