Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanaume aliyetambulika kwa jina la Sultan Mohamed ana shikiliwa na Jeshi la Polisi baada yakufiwa na mkewe na kuamua kumzika kimya kimya katika mazingira yenye utata kiasi cha kujengeka hisia kuwa ameuawa.
Tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi, limejiri katika Kijiji cha Mkiu, Mkuranga mkoani Pwani na kuleta hali ya sintofahamu, iliyosababisha mwili wa marehemu aliyefahamika kwa jina la Coletha Michael, ufukuliwe chini ya ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi huku mwanaume huyo akishikiliwa kwa mahojiano zaidi.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment