Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

Afiwa na MKEWE na Kuamua Kumzika Kisirisiri...Polisi Walazimika Kufukua Maiti....

Afiwa na MKEWE na Kuamua Kumzika Kisirisiri...Polisi Walazimika Kufukua Maiti....
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanaume aliyetambulika kwa jina la Sultan Mohamed ana shikiliwa na Jeshi la Polisi baada yakufiwa na mkewe na kuamua kumzika kimya kimya katika mazingira yenye utata kiasi cha kujengeka hisia kuwa ameuawa.

Tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi, limejiri katika Kijiji cha Mkiu, Mkuranga mkoani Pwani na kuleta hali ya sintofahamu, iliyosababisha mwili wa marehemu aliyefahamika kwa jina la Coletha Michael, ufukuliwe chini ya ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi huku mwanaume huyo akishikiliwa kwa mahojiano zaidi.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...