Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

Mauaji ya Mmarekani Mweusi..Ushahidi wa VIDEO Hautoshi Kumtia Mshukiwa Hatiani....


Meya wa St.Paul,Minnesota Melvin Carter pamoja na rais wa Minneapolis (NAACP) Leslie Redmond wamesema ushahidi wa video kwa kesi inayomkabili polisi anayedaiwa kumuua mmarekani mweusi George Floyd ni mwanzo mzuri lakini hautoshi kumtia hatiani.

Maandamano yamekesha katika miji tofauti na huenda yakazidi kuwa makubwa jumamosi hii.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...