Search This Blog
Sunday, May 31, 2020
Mauaji ya Mmarekani Mweusi..Ushahidi wa VIDEO Hautoshi Kumtia Mshukiwa Hatiani....
Meya wa St.Paul,Minnesota Melvin Carter pamoja na rais wa Minneapolis (NAACP) Leslie Redmond wamesema ushahidi wa video kwa kesi inayomkabili polisi anayedaiwa kumuua mmarekani mweusi George Floyd ni mwanzo mzuri lakini hautoshi kumtia hatiani.
Maandamano yamekesha katika miji tofauti na huenda yakazidi kuwa makubwa jumamosi hii.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment