Search This Blog
Monday, April 20, 2020
Watanzania Wawili Watupwa Baharini Kutoka Kwenye MELI Wakihofiwa Kuwa na Corona
Nahodha na mabaharia sita wa Kichina wamekutwa na hatia ya kujaribu kuwaua Watanzania wawili kwa kuwatupa baharini karibu na mwambao wa KwaZulu Natal, mwezi uliopita kwa hofu ya kuambukizwa #CoronaVirus
Amiri Salamu(20) na Hassani Rajabu(30) walitoswa baharini wakiwa wamepewa ‘life jackets’ na chupa za maji wakaamriwa kuogelea. Siku tatu baadae waliokotwa katika Fukwe ya Zinkwazi
Cui Rongli amekutwa na hatia ya kutowaliporipoti wazamiaji hao, na kuwatendea tukio ambalo lingeweza kuwasababishia kifo. Amelipishwa faini ya $5,000 sawa na Tsh. Milioni 11.5 na wenzake wamelipishwa Tsh. Milioni 5.7
Meli hiyo ilikuwa inatoka Durban, Afrika Kusini kuelekea Singapore
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment