Search This Blog

Monday, April 20, 2020

Waliofariki Kwa Virusi Vya Corona Marekani Wafika 40,565

Ripoti ya kutoka Chuo kikuu cha Johns Hopkins imesema kuwa takriban kesi za maambukizi ya virusi vya Corona nchini Marekani imefikia 764,265  huku idadi ya vifo ikiwa ni zaidi ya 40,565. 

Barani Afrika, kesi za maambukizi zimefika 21,317 pamoja na idadi ya vifo 1,080 mpaka kufikia leo Aprili 20.

Mbali na hizo takwimu duniani kote inakdiriwa kuwa na kesi 2,408,304  zilizothibitishwa huku waliopona wakikadiriwa kufikia 629,066 na vifo vikikadiriwa kufikia 165,105


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...