Search This Blog
Monday, April 20, 2020
Mji Wenye Baiskeli Nyingi Zaidi ya Idadi ya Wakazi Ujerumani...
Munster ni mji ulioko Magharibi mwa Ujerumani, unaofahamika kwa kubeba majengo ya kihistoria na una idadi kubwa ya baiskeli ambayo ni mara mbili zaidi ya idadi ya wakazi
Kutokana na wingi wa baiskeli, kumetengwa maeneo ya maegesho katika maeneo mbalimbali. Kama haumiliki baiskeli katika mji huu jamii hukushangaa
Inasemekana watu wanamiliki baiskeli zaidi baada ya kuitikia wito wa kutunza mazingira, kwani magari na vifaa vingine vya moto hutoa gesi hatari kwa mazingira
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment