Watu 21 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa kipindupindu kusini mashariki mwa Nigeria.
Mratibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Ebonyi Dk. Eyo Nora ametangaza kwa waandishi wa habari kuwa watu 21 wamekufa katika janga la kipindupindu la nchini humo.
Nora amebaini kuwa kesi 155 za kipindupindu zimegunduliwa katika jimbo hilo, na kwamba dawa za dharura na vifaa vya matibabu vimepelekwa katika sehemu husika.
Nora amesema kuwa wameanza kuchukua hatua za kuzuia mlipuko huo, unaosababishwa na ukosefu wa maji safi na usafi.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment