Search This Blog

Monday, April 13, 2020

Ecuador yazidiwa na idadi kubwa ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa corona

Juma moja baada ya picha za miili ikiwa imezagaa mitaani nchini Ecuador kushika kasi kwenye vichwa vya habari, familia bado zinasubiri kuwazika wapendwa wao.

Mlipuko wa virusi vya corona mjini Guayaquil umefanya mji huo kuwa mji ulioathirika vibaya zaidi na maambukizi katika eneo la Amerika Kusini.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...