Search This Blog

Tuesday, March 24, 2020

Watu 44 wamefariki kwa virusi vya corona Uturuki


Waziri wa afya wa Uturuki atangaza idadi ya watu waliofariki kwa virusi vya korona kuongezeka.

Fahrettin Koca, waziri wa afya wa Uturuki ametangaza kuwa watu 44 kwa ujumla ndio idadi ya watuambao wamekwishafariki kutokana na virusi vya corona tangu kaunza kwake nchini Uturuki.

Koca amesema kuwa licha ya maafa hayo kuendelea kutokea, wizara ya afya kwa ushirikiano na watafiti haijashinda juhudi zake za kupambana na virusi hivyo ambavyo vinaendelea kusababisha maafa.

Watu 7 wamefariki katika kipindi cha masaa  24 na kulekea idadi hiyo kuongezeka.

Taarifa hiyo  imetolewa na waziri wa afya katika ukurasa wake wa Twitter Jumanne.

Vipimo  walivyofanyiwa watu 3952 kwa muda wa masaa 24, miongoni mwao  343  wamekutwa na virusi vya corona.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...