Search This Blog

Tuesday, March 24, 2020

Kocha wa kihistoria Uturuki aambukizwa virusi vya corona


Mkufunzi wa kihistoria wa kabumbu nchini Uturuki ametangaza kuwa amepimwa na kupatikana akiwa ameambukiwa virusi vya corona.

Fatih Terim, mkufunzi wa kihistoria wa  kabumbu nchini Uturuki ametanza Jumapili kuwa amefanyiwa vipimo na kupatikana akiwa na virusi vya corona.

Terim amefahamisha kuwa  majibu ya vipimo alivyofanyiwa   yameonesha  kuwa ameathirika na virusi vya Covid-19.

Terim katika ujumbe aliotoa kupitia ukurasa wake Twitter ametuliza  nyoyo za mashabiki wake akiwahakikishia kuwa yupo  katika mikono salama wasiwe na hofu.

Ni pigwa kubwa na wachezaji wa timu ya Galatasaray.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...