Search This Blog

Tuesday, March 24, 2020

Pompeo: Puuzeni kampeni ya China, Urusi na Iran

Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani Mike Pompeo ameendelea kuirushia lawama China akisema kitendo chao cha kuficha ukweli tangu awali kuhusu ni lini corona imeanza na ilipoanzia kimepelekea janga kubwa la Dunia na Watu wengi kuwa kwenye hatari “walificha na bado wanaendelea kuficha kwa kutupakazia sisi“

“Kampeni ya kizushi iliyoanzishwa na China na sasa inaungwa mkono na Urusi na Iran kuwa Marekani imepandikiza corona China kupitia Jeshi letu ni za kupuuzwa, hivi ni virusi vya China, virusi vya Wuhan, nilisikia wanasema labda corona ilianzia Italia kifupi hawaeleweki”-POMPEO

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...