Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani Mike Pompeo ameendelea kuirushia lawama China akisema kitendo chao cha kuficha ukweli tangu awali kuhusu ni lini corona imeanza na ilipoanzia kimepelekea janga kubwa la Dunia na Watu wengi kuwa kwenye hatari “walificha na bado wanaendelea kuficha kwa kutupakazia sisi“
“Kampeni ya kizushi iliyoanzishwa na China na sasa inaungwa mkono na Urusi na Iran kuwa Marekani imepandikiza corona China kupitia Jeshi letu ni za kupuuzwa, hivi ni virusi vya China, virusi vya Wuhan, nilisikia wanasema labda corona ilianzia Italia kifupi hawaeleweki”-POMPEO
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment