Search This Blog

Sunday, March 22, 2020

Tanzia: Makongoro Mahanga Afariki Dunia




Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Kichama wa Ilala Jijini Dar es Salaam, Dkt. Milton Makongoro Mahanga amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Machi 23, 2020 katika Hospitali ya taifa Muhimbili (MNH) alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu tangu juzi.

Katibu wa Chadema Mkoa wa Ilala, Jerome Olomi amethibitisha kutokea kwa msiba huo na kusema taarifa zaidi kuhusu msiba huo zitatolewa baadaye.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...