Aliewahi kuwa Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, kabla ya kuhama CCM na kwenda CHADEMA ambako alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Ilala,Dk.Makongoro Mahanga amefariki Dunia, CHADEMA wamesema msiba umetokea leo asubuhi Muhimbili ambako alilazwa tangu juzi kwa matibabu.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment