Search This Blog

Sunday, March 22, 2020

Shirika la Ndege la Kenya Airways Laamua Kufanya Maamuzi



Shirika hilo limefikia uamuzi huo ili kuendana na Serikali katika kuzuia safari zote za Kimataifa Kenya katika kupambana na kuenea kwa #covid_19

Wasafiri wameshauriwa kubadili tiketi zao hadi baadae au kubadili na kupewa vocha ya kusafiri ndani ya miezi 12 ambapo safari za Mombasa na Kisumu bado zipo

Limesema limelazimika kupunguza safari zake kwa asilimia 70 na kushindwa kufanya safari za Kimataifa na pia mishahara ya Wanyakazi itapunguzwa kwa muda


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...