Search This Blog
Tuesday, March 17, 2020
Saudi Arabia imetangaza kuifunga Misikiti yake yote
Saudi Arabia imetangaza kuifunga Misikiti yake yote na kuwataka Waumini kuswali swala tano za kila siku na Swala ya Ijumaa wakiwa kwenye nyumba zao lengo likiwa ni kudhibiti kuenea kwa virusi vya corona, Ibada itaendelea kwenye Misikiti miwili mitakatifu pekee ya Makka na Madina lakini milango ya Misikiti mingine yote inafungwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment