Search This Blog

Wednesday, March 18, 2020

Rais wa Iran: Tutaipiga tena Marekani

Rais wa Iran Hassan Rougani amesema Iran ilijibu na itaendela kujibu mashambulizi dhidi ya kifo cha Jenerali wa ngazi za juu wa Jeshi la Iran Qassem Soleimani aliyeuawa na Marekani akiwa Iraq

"Marekani imemuua Kamanda wetu tuliwajibu kwa kipigo kilichowaumiza Wanajeshi wao vibaya na tutawajibu tena hivi karibuni”

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...