Rais wa Iran Hassan Rougani amesema Iran ilijibu na itaendela kujibu mashambulizi dhidi ya kifo cha Jenerali wa ngazi za juu wa Jeshi la Iran Qassem Soleimani aliyeuawa na Marekani akiwa Iraq
"Marekani imemuua Kamanda wetu tuliwajibu kwa kipigo kilichowaumiza Wanajeshi wao vibaya na tutawajibu tena hivi karibuni”
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment