Search This Blog

Tuesday, March 10, 2020

Messi ajitosa sakata la Ronaldinho


Mchezaji nyota wa klabu ya soka ya Barcelona ya Hispania Lionel Messi ameanza mchakato wa kumtoa Rumande mchezaji nyota wa zamani wa Brazil na Barcelona Ronaldinho Gaucho.

Messi anatarajia kuwalipa mawakili Euro Milioni 4 ili kufanikisha kumtoa rumande nyota huyo wa kibrazil ambaye anashikiliwa nchini Paraguay kwa kosa la kughushi Hati ya kusafiria

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...