Search This Blog

Tuesday, March 10, 2020

CCM kumlipia faini Dkt. Mashinji

Wakati kampeni ya kuchangisha pesa za kuwalipia faini Viongozi wa CHADEMA ikiendelea, upande wa CCM Humphrey Polepole ameandika yafuatayo kuhusu faini ya Vicent Mashinji ambae ni Mwanachama mpya wa CCM akihamia kutoka CHADEMA.

“Asante CCM Mkoa wa DSM, Mwenyekiti na Kamati ya Siasa kwa kujitoa kwenu kwa haraka ili kesho tukamnusuru Mwanachama wa CCM Vicent Mashinji. Mtakumbuka kuongoka kwa Mashinji kumetupa picha nzuri ya wasiotutakia mema na mipango yao mingi yenye nia ovu



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...