Search This Blog

Tuesday, February 18, 2020

Yanga Mdebwedo..Jinamizi la Sare Laendelea Kuikumba..



 Klabu ya Yanga imeendelea kuvuna pointi moja baada ya kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara uliopigwa kwenye dimba la Ushirika, Moshi.

FT: Polisi Tanzania 1-1 Yanga SC.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...