Search This Blog

Tuesday, February 18, 2020

Simba Mwendo Mdundo Yaendelea Kutoa Kipigo Uwanja wa Taifa


Klabu ya Simba imefanikiwa kuchukua pointi zote tatu baada ya kuipa kipigo Kagera Sugar cha bao 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kwenye dimba la Taifa jijini Dar es Salaam.

Goli la Simba lilifungwa na Meddie Kagere kwa mkwaju wa penati dakika ya 61.

FT | Simba SC 1-0 Kagera Sugar.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...