Search This Blog
Tuesday, February 18, 2020
Simba Mwendo Mdundo Yaendelea Kutoa Kipigo Uwanja wa Taifa
Klabu ya Simba imefanikiwa kuchukua pointi zote tatu baada ya kuipa kipigo Kagera Sugar cha bao 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kwenye dimba la Taifa jijini Dar es Salaam.
Goli la Simba lilifungwa na Meddie Kagere kwa mkwaju wa penati dakika ya 61.
FT | Simba SC 1-0 Kagera Sugar.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment