Search This Blog
Tuesday, February 18, 2020
Majambazi Walisha Walinzi Mishkaki Yenye Sumu Kali na Kuiba....
Walinzi 7 wilayani Handeni mkoani Tanga wamenusurika kifo baada ya kulishwa mishikaki yenye sumu na majambazi, ambao baadaye walivunja maduka ya lindo lao na kuiba.
Imeelezwa kuwa majambazi hao walijenga uhusiano wa wiki kadhaa na walinzi hao huku wakijifanya wauza mishikaki na kuaminika na walinzi hao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment