Search This Blog

Tuesday, February 18, 2020

Majambazi Walisha Walinzi Mishkaki Yenye Sumu Kali na Kuiba....


Walinzi 7 wilayani Handeni mkoani Tanga wamenusurika kifo baada ya kulishwa mishikaki yenye sumu na majambazi, ambao baadaye walivunja maduka ya lindo lao na kuiba.

Imeelezwa kuwa majambazi hao walijenga uhusiano wa wiki kadhaa na walinzi hao huku wakijifanya wauza mishikaki na kuaminika na walinzi hao.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...