Search This Blog
Wednesday, February 12, 2020
Wakala wa Mo Salah akana mchezaji huyo kuwa sehemu ya kikosi michuano ya Olimpic
Wakala wa mchezajiwa Liverpool Mo Salah anayejulikana kwa jina la Rammy Abbas Issa amekanusha taarifa za Salah kuwa sehemu ya kikosi cha Misri U-23 kitakachoshiriki michuano ya Olympic nchini Japan.
Mapema leo zilitoka taarifa kuwa kocha wa timu ya taifa ya Misri U-23 Shawky Gharib anakusudia kumjumuisha mchezaji huyo katika list ya wachezaji watatu waliozaidi ya umri wa miaka 23 katika kikosi hicho.
Rammy amesema kuwa Salah ,27, bado hajafanya maamuzi na hakuna mazungumzo yaliofanyika na kudaiwa kuwa hawezi kuitwa mchezaji kwa meseji “Hapana uamuzi bado haujafanyika”, Salah bado hajaongea na Shawky na endapo atakubali atakosa Pre Season akiwa na Liverpool.
Michuano ya soka ya Olympic kwa kawaida inashirikisha timu za taifa zenye umri chini ya miaka 23 lakini kila nchi shiriki wanaruhusiwa kuongeza wachezaji watatu walio zaidi ya miaka 23 kama watapenda kufanya hivyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment