Search This Blog

Tuesday, February 25, 2020

Tanzania Yashinda TUZO ya Kuwa Eneo Bora la Utalii wa Wanyama Pori Duniani...



Tanzania imeshinda tuzo nchini India ya utalii kwa kuwa eneo bora zaidi la utalii wa wanyamapori duniani kwa mwaka 2020 (The Best International Wildlife Destination)

Balozi wa Tanzania nchini India, Baraka H. Luvanda amepokea Tuzo hiyo kutoka Jarida la kihindi la “Outlook Traveller Magazine” katika hafla maalum iliyohudhuriwa na takriban washiriki 200

Aidha, Shelisheli na Indonesia kwa pamoja zimeshinda tuzo kama maeneo bora zaidi duniani kwenye utalii wa dukes


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...