Search This Blog
Tuesday, February 25, 2020
Mke wa Kobe Bryant "Mungu Alifahamu Kuwa Hawawezi Kuishi Katika Dunia hii Bila ya Mwingine"
Maneno ya Mke wa Bryant *VanessaBryant katika tukio la kutoa heshima za mwisho “Mungu alifahamu kuwa hawawezi kuishi katika dunia hii bila ya mwingine, Na ndio maana ilibidi awachukue wote kwa Pamoja.” Hapa alikuwa akiongelea jinsi walivyokuwa wanapendana na hadi kupelekea kufanana baadhi vitu mfano wote walikuwa wanapenda mchezo wa Basketball kingine Ishara zote alizokuwa akizionyesha GiGi ndio alikuwa nazo baba yake mfano hiyo ya kung’ata jezi. RIP 🖐️BlackMamba KOBE BRYANT na ✋GIANNA BRYANT 💔💔
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment