Search This Blog
Monday, February 3, 2020
Ndege ya Uturuki Yaburuza Mkia Wakati wa Kupaaa.....
Ndege ya shirika la #Uturuki #TurkishAirlines #Boeing737-8 yenye usajiri namba TC-JZH yaburuza mkia chini wakati wa kupaa katika uwanja wa ndege #Istabul.
Rubani wa ndege hiyo alimua kuchukua maamuzi magumu ya kugeuza ndege hiyo dakika 120 baadae na kutua salama.
Hakuna majeruhi katika tukio hilo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment