Search This Blog
Friday, January 24, 2020
Viwanja Vinauzwa Bunju Mpakani c/o Mapinga
Viwanja vya makazi, Biashara na Viwanda, vinauzwa mpakani mwa Bunju na Mapinga opposite na Kimele Hotel (Resort).
Vipo viwanja vya makazi kuanzia milion 2.5 (10/20), milion 5 (20/20), milion 7 (20/30), milion 10 (20/40), sqm 1600 kwa milion 23, sqm 2400 kwa milion 30.
Viwanja viko umbali wa km 2 tu kutoka main road (Dar to Bagamoyo Road). Huduma zote zipo: maji, umeme, barabara, shule, makanisa na miskiti.
Vipo pia viwanja vya viwanda (lighty industry plots) vya sqm 3600 na sqm 4600 na bei ya sqm ni tsh 20,000 ambavyo vipo umbali wa km 1 tu kutoka main road.
Ukipata ujumbe huu mjulishe ndugu/jamaa/rafiki, na biashara hii haina dalali/udalali.
Mpigie mhusika: 0758603077 au whatsap 0757489709
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment