1. Uwashaji wa bluetooth.
2. WI-FI.
3. Mwanga wa simu- blightnes.
4. Vibration- mngurumo.
5. Wallpaper zinazobadilika.
Hivyo ili kuepuka kumaliza chaji katika simu yako, yaepuke mambo ambayo nimeyaainisha hapo juu.
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
No comments:
Post a Comment