UONGOZI wa Simba umesema kuwa leo utalitolea ufafanuzi suala la madai ya mlinda mlango wa Yanga, Ramadhan Kabwili kudai kuwa aliahidiwa gari aina ya Toyota IST endapo angefanya makusudi ya kutocheza mchezo wao wa msimu uliopita 2018/19.
Kabwili alidai kuwa, kuna watu ambao anadai walikuwa ni viongozi wa Simba walimfuata na kumtaka afanye makusudi kwenye mechi zake apate kadi ya njano ili asipangwe kwenye kikosi kwa kuwa alikuwa na kadi mbili za njano.
Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa watajibu tuhuma alizotoa mchezaji huyo ila cha msingi awe na ushahidi.
" Tutajibu tuhuma za jumla jumla alizotoa huyu mchezaji kwa klabu yetu. Muhimu wakati huu akijiandaa kikamilifu na ushahidi wa hizo tuhuma," .
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment