Afisa muhamasishaji wa Yanga SC Antonio Nugaz ameongea na waandishi wa habari baada ya Yanga SC kufungwa magoli 3-0 dhidi ya Kagera Sugar katika uwanja wa Uhuru mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2019/2020.
Nugaz amekubali kuwa Kagera Sugar ilikuwa bora kuliko wao ndio maana wao wakapoteza mchezo huo, Kagera wao walitengeneza nafasi zote ambazo walizitumia lakini Yanga wao wamepata nafasi nne na kushindwa kuzitumia ndio maana wameadhibiwa.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment