Search This Blog

Wednesday, January 15, 2020

Nugaz aukubari mziki wa Kagera Sugar "Ilikua bora kuliko sisi"

Afisa muhamasishaji wa Yanga SC Antonio Nugaz ameongea na waandishi wa habari baada ya Yanga SC kufungwa magoli 3-0 dhidi ya Kagera Sugar katika uwanja wa Uhuru mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2019/2020.

Nugaz amekubali kuwa Kagera Sugar ilikuwa bora kuliko wao ndio maana wao wakapoteza mchezo huo, Kagera wao walitengeneza nafasi zote ambazo walizitumia lakini Yanga wao wamepata nafasi nne na kushindwa kuzitumia ndio maana wameadhibiwa.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...