Search This Blog

Wednesday, January 15, 2020

Kichuya arudi simba rasmi

Timu ya simba SC imemrejesha kwa kumsajili tena Shiza Ramadhani Kichuya inadaiwa kama mchezaji huru.

Timu hiyo bado  haijaweka wazi kama  wameingia mkataba wa muda gani kuichezea timu hiyo.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...