Search This Blog

Thursday, January 16, 2020

Namba za utambulisho NIDA milioni 6.8 hazijatumika kusajili laini za simu


Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa NIDA inaendelea na zoezi la usajiri na utambuzi wa watu, uzalishaji wa namba za utambulisho wa Taifa na vitambulisho na ugawaji wake kwa wananchi zinazotumika kusajili laini za simu kwa alama za vidole na huduma nyingine zinazohitaji utambulisho.

NIDA imezalisha idadi kubwa ya namba za utambulisho wa Taifa kati ya hizo, namba za utambulisho wa Taifa 6,806,096 hazijatumika kusajili laini za simu kwa alama za vidole.








No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...