Msanii wa muziki Shilole, amewataka mashabiki zake wasimpande kichwani kwa kumuuliza kwanini hapati mtoto na mumewe kwa sababu hawajui ana matatizo gani.
"Tutapata mtoto tu, halafu hayo sio mafungu ya nyanya kwamba yanawekwa tu pale, ni baraka kutoka kwa Mungu, bado siku haijafika hata mimi natamani sana kupata mtoto, naamini ataleta kheri kuhusu mashabiki zangu siwajali kwa sababu wao hawalali na mimi" amesema Shilole.
Pia Shilole ameendelea kusema "Wao wanajua kama nina matatizo gani au walishanipeleka hospitali wakajua kama nina shida gani, kwahiyo wawe wavumilivu wasijaji maisha yangu, waangalie muziki wangu na biashara zangu mambo ya ndoa yangu na kutozaa hayawahusu nikipata waseme Inshaalah, nikikosa waseme Hewala" ameongeza.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment