Naibu waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Atashasta Nditiye ameiagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kufanya ukaguzi wa kushtukiza kwenye Mabasi ya abiria ili kuyabaini yale yanayoendelea kusafirisha barua na vifurushi bila kuwa na leseni.
"Mwaka jana nilipiga marufuku lakini bado kuna baadhi ya Mabasi yanaendelea kusafirisha barua na vifurushi bila leseni, huku ni kukiuka Sheria kakagueni anayekamatwa achukuliwe hatua kali"- NDITIYE
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment