Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wanamshikilia Kijana Seif Machano mwenye miaka 28 kwa tuhuma za kumteka Mtalii ambaye ni Raia wa Marekani Sheiley Moris na kuiba kila kitu chake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Awadhi Juma amesema Mtuhumiwa akiwa na wenzake ambao hawajapatikana walimteka Raia huyo wa Marekani kwa kutumia Noah na kisha kumtaka atoe kila kitu ili kuokoa maisha yake.
"Tunamshikilia Seif tulimkuta na ATM card za Mmarekani na vingine na wenzake watapatikana kisha wote watafikishwa Mahakamani"
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment