Search This Blog
Monday, December 30, 2019
Watu watano wafariki kutokana na mvua kubwa Msumbiji
Watu watano wamefariki dunia, wengine 51 wamejeruhiwa na nyumba zaidi ya elfu saba zimeharibiwa kutokana na mvua kubwa katika jimbo la Cabo Delgado, kaskazini mwa Msumbiji.
Kwa mujibu wa radio taifa ya Msumbiji RM, wahanga walisombwa na mafurikio yaliyosababisha na mvua katika mto Montepuez, na bado kuna wengine wengi walioathiriwa na mafuriko hayo.
Serikali ya Msumbiji imetoa tahadhari nchini kote, dhidi ya hatari ya kutokea kwa mafuriko katika majimbo ya Zambezia, Nampula na Cabo Delgado.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment